holy

adj 1 -takatifu; -a kuhusiana na Mungu/dini. the H~ Bible; H-Writ n Biblia Takatifu. the H~ Land n nchi ya Palestina. the H~ City n Yerusalemu. H~ Week n Juma la Mateso. H~ Communion n Komunyo; Ekaristi Takatifu. H~ Father n Baba Mtakatifu. ~ ground n sehemu takatifu. ~ water n maji ya uzima. a ~ war n jihad, vita vya kidini. 2 -a kumcha Mungu a ~ man mcha Mungu live a ~ life ishi kwa kumcha Mungu. 3 a ~ terror n (sl) mtoto mtundu. n the H~ of Holies n chumba/ mahali patakatifu, takatifu; (fig) mahali popote patakatifu.