hen

n 1 kuku; (ready to lay) tembe; (laying) koo. ~ bane n dawa ya usingizi. hen-coop n tundu la kuku. hen-house n banda la kuku agh. la miti. ~-party n (colloq) tafrija ya wanawake pekee. hen-pecked adj mtu anayetawaliwa na mkewe. hen-roost n 1 kituo cha kuku usiku. 2 ndege jike. guinea-~ n kanga jike. pea ~ n tausi jike.