help

n 1 msaada, auni, muawana. be of ~ (to somebody); be (of) any/much/some ~ (to somebody) saidia mtu fulani it wasn't much ~ haikusaidia sana. lend somebody one's ~ -pa mtu msaada his public lecture was a great ~ to us mhadhara bayana wake ulikuwa (wa) msaada mkubwa kwetu. 2 a ~ msaada/mtu anayesaidia, mtumishi wa kutwa wa nyumbani, msaidizi my ~ is sick today mtumishi wangu yu mgonjwa leo. 3 njia, dawa there's no ~ for it hakuna dawa/njia ya kuweza kusaidia, haikwepeki. helpful adj -enye msaada; -a kusaidia. helpfully adv. helpfulness n. helpless adj 1 bila msaada. 2 -siojiweza. helplessly adv.helplessness n. helper n. msaidizi. helping n mpakuo mmoja wa mlo a ~ of rice and chicken mpakuo wa wali na kuku. vt,vi 1 saidia, auni that won't ~ hiyo haisaidii he knows how to ~ himself anajua jinsi ya kujisaidia ~ somebody across saidia mtu kuvuka (mto n.k.). ~ down saidia kuteremsha/ endeleza. ~ in saidia kuingia (garini n.k.) ~ off/or with his coat saidia kuvua/kuvaa koti. ~ out toa msaada, kwamua. ~ up saidia mtu (kupanda ngazi n.k.). 2 ~ somebody/oneself (to something) (ji)gawia chakula, vinywaji n.k. he ~ ed me to some food alinigawia chakula ~ yourself to some drinks jihudumie vinywaji mwenyewe (kwa kiasi chako). 3 zuia/jizuia; epuka/ epusha; acha I could't ~ laughing sikuweza kujizuia kucheka I cannot ~ doing it siwezi kuacha kufanya it can't be ~ed haizuiliki. 4 So ~ me God (in an oath) Mungu nisaidie. ~ mate/meet n mwenzi (hasa mke na mume).