hatch

hatch

1 n 1 mfuniko wa mlango. (esp) ~ way n mfuniko wa sitaha; dirisha baina ya vyumba viwili (hasa jiko na chumba cha kulia). under ~ n chini ya silaha. 2 sehemu ya chini ya mlango uliogawika.

hatch

2 vt,vi angua (yai). don't count haveone's chickens before they're ~ed (prov) usikate mbeleko na mwana hajazaliwa. 2 buni, tunga a plot buni njama, kula njama. hatchery n mahali pa kuangulia (hasa mayai ya samaki).

hatch

3 vt chora/chimba mistari sambamba. hatching n mistari hiyo.