happen

vi 1 (to) tukia, jiri, tendeka. ~ again tukia tena it so ~ed that ilitokea kuwa. 2 -wa na bahati; bahatisha; bahatika as it ~s kwa bahati. 3 ~ on/upon ona/pata kwa bahati. ~ on somebody pata mtu kwa bahati. happening n (often pl) tukio.