vt,vi 1 ~ (at) kisia, bahatisha I should ~ your age as kwa kukisia/ kubahatisha umri wako ni. 2 (think) ona, dhani I ~ you got it wrong(US colloq) nadhani umekosea. n dhanio, kisio. it is any body's ~ hakuna mtu mwenye hakika. at a ~ kwa kubahatisha. make a lucky ~ bunia, bahatisha your ~ is as good as mine ni vigumu kukisia. by ~ kwa kubahatisha. guesstimate(modern colloq)n kubahatisha kwa kukisia na kufikiri. ~ workn kazi ya kubahatisha.