1n kaburi. have one foot in the ~ chungulia kaburi. grave-clothesn sanda. ~ stonen tofali linalowekwa juu ya kaburi likiwa na jina la marehemu. graveyardn makaburini, sehemu ya makaburi. ~ diggern mchimba kaburi.
grave
2adj -a kuhitaji makini, -kubwa; -a mashaka, -a hatari. ~ offencen kosa kubwa the situation is more ~ hali ni mbaya.
grave
3vt(arch or liter) chora/chonga ~n image sanamu ya kuabudika.
grave
4n alama itumikayo kuonyesha jinsi irabu inavyotamkwa katika neno fulani.