grave

grave

1 n kaburi. have one foot in the ~ chungulia kaburi. grave-clothes n sanda. ~ stone n tofali linalowekwa juu ya kaburi likiwa na jina la marehemu. graveyard n makaburini, sehemu ya makaburi. ~ digger n mchimba kaburi.

grave

2 adj -a kuhitaji makini, -kubwa; -a mashaka, -a hatari. ~ offence n kosa kubwa the situation is more ~ hali ni mbaya.

grave

3 vt (arch or liter) chora/chonga ~n image sanamu ya kuabudika.

grave

4 n alama itumikayo kuonyesha jinsi irabu inavyotamkwa katika neno fulani.