graph

n grafu. ~ paper n karatasi ya grafu. graphic adj 1 -a ishara/alama zinazoonekana (k.m. maandishi, michoro, vielelezo n.k.). 2 -a wazi, -a bayana, -enye kutoa picha wazi (akilini) (comp) ~ic arts n sanaa za maandishi, kuchora, kunakshi n.k.. n vitu vitokanavyo na sanaa hizo. graphically adv kwa kuandika au kuchora; (fig) bayana, waziwazi, dhahiri.