grant

vt 1 toa ruhusa, toa idhini, ridhia ~ somebody permission/a request to do something toa idhini kwa mtu kufanya jambo fulani. 2 kubali (kuwa jambo fulani ni kweli) ~ the truth of what someone says kubali ukweli wa mtu. take something for ~ed chukulia jambo fulani kuwa la kweli au litatukia. take somebody for ~ed ona wa kawaida, -totambua hadhi ya mtu. n hiba.