govern

vi,vt 1 tawala. 2 (control) zuia; dhibiti ~ one's temper zuia hasira. 3 (usu passive) ongoza be ~ed by the opinions of others ongozwa na mawazo ya watu wengine. 4 (gram esp of verb or prep) miliki, goeka. governing adj -enye kutawala, -a utawala. governance n utawala; uongozi; udhibiti. government n 1 serikali. Government House n Ikulu. responsible ~ment n serikali ya madaraka. 2 utawala democratic ~ment utawala wa kidemokrasi adj -a kiserikali. governor/guv'nor n 1 gavana. Governor General n Gavana Mkuu. 2 mjumbe wa bodi ya shule, hospitali n.k. 3 (colloq) mkuu; mwajiri; baba; (sl) bosi. 4 kirekebisho kinachojiendesha (katika mashine, kudhibiti gesi, mvuke n.k) msimamizi. 5 (tutor) mlezi. governess n mwalimu wa kike wa watu binafsi/ wa familia fulani.