ginger

n 1 tangawizi. ~ beer/ale n soda ya tangawizi. ~ bread n keki/mkate wa tangawizi. 2 bidii; nguvu; uchangamfu ~group (in parliament) kikundi cha kuchemsha/ kuchangamsha serikali. 3 rangi ya hudhurungi nyekundu. gingery adj. gingerly adv kwa hadhari sana, kwa uangalifu sana, kwa makini sana. ~ up changamsha.