n jeni: sehemu ya DNA inayorithisha tabia au umbile fulani. geneticadj 1 -a jeni/-a jenetiki. 2 -a kinasaba/kijeni a ~tic defect hitilafu ya kinasaba. genesn jenetiki. genealogyn (elimu ya) nasaba, kizazi, ukoo. ~treen shajara ya nasaba. genealogicaladj. genealogicallyadv.