n lango; kizuizi. ~ crashvt ingia (katika nyumba, tafrija au uwanja) bila idhini au kiingilio. ~ crashern mpandiaji. ~ housen nyumba iliyo karibu na lango. ~ keepern bawabu. ~legged tablen meza ya miguu ya kukunjuka. ~ moneyn fedha za kiingilio. ~ postn nguzo ya lango. between you(and) me and the ~ postn kwa siri sana. ~ wayn njia inayofungwa kwa lango; (fig) mbinu/njia ya kukabili/kufikia (jambo). vt zuia mwanafunzi abakie shuleni (kama adhabu).