fuse

vt,vi 1 yeyusha; yeyuka. 2 ungana; unganisha. 3 (electric) katika (waya wa fuzi). n (electric) fyuzi. time ~ n fyuzi inayolipuka katika muda uliotegeshwa. fusibility n. fusible adj. fusion n kuunganisha; kuyeyusha; mchanganyiko. fusion bomb n bomu (kama) la haidrojeni.