fundamental

adj ~ (to) -a asili; -amsingi; -a muhimu n msingi; asili; kanuni. the ~s n misingi na kanuni. fundamentally adv. fundamentalism n hifadhi ya misingi ya dini ya Kikristo, ulokole. fundamentalist n mfuasi wa misingi ya kale ya dini ya Kikristo religious ~ists waumini wakereketwa.