fun

n 1 kujifurahisha; burudani, mchezo, raha there is plenty of ~ out here kuna burudani nyingi sana hapa I don't see the ~ of it ni kipi cha kuchekesha. have ~ furahia; starehe. fun-fair n kiwanja cha michezo. ~ and games (colloq) mzaha, burudani za kuchangamsha. make ~ of; poke ~ at fanyia mzaha, tania; dhihaki. for/in ~ kwa utani, kwa mzaha, kwa kujifurahisha. 2 jambo/mtu anayefurahisha, kichekesho. 3 (attrib. colloq) -a kuchekesha a ~ hat kofia ya kuchekesha/kufurahisha. funny adj 1 -a kuchekesha he is trying to be ~ny anajaribu kufanya mzaha. a ~ ny man n mtu wa kuchekesha; mcheshi. 2 -geni, -a ajabu -sio sawa; -gumu kufahamika there is something ~ny about this letter kuna jambo lisiloeleweka katika barua hii. ~ny -bone n mfupa wa kiko unaopitisha neva-ulna. ~ny business n (sl) udanganyifu. ~ny farm n (sl) hospitali ya magonjwa ya kichwa/ akili. the ~nies n (pl) katuni. funnily adv ~nily enough ajabu ni kamba. ~ niness n.