frame

n 1 kiunzi (agh. cha majengo). ~ house n nyumba ya mbao. 2 (of picture, window, glasses etc) fremu (k.m.fremu ya picha au ya miwani). 3 mwili, umbo, gimba. 4 jengo la mbao na vioo la kulinda mimea dhidi ya baridi. 5 ~ of mind n hali (ya muda) ya akili; hasira/furaha in a cheerful ~ of mind katika hali ya furaha. 6 (more usu framework) mfumo. 7 (photography) sehemu ya picha moja katika filamu ~ work kiunzi; mhimili. vt,vi 1 tengeneza; tunga, buni ~ a sentence tunga sentensi. 2 tia fremu (k.m. picha). 3 endelea; elekea kuendelea; endeleza; toa matumaini ya kuendelea. 4 (sl) singizia, zulia mtu uongo. frame-up n uongo uliozuliwa kumtia mtu hatiani, kusingiziwa; kusingizia.