fowl

n 1 (old use) ndege. 2 ndege wanaofugwa hasa kuku. 3 nyama ya kuku, ndege. fowler n mwindaji ndege. fowling-piece n bunduki ya marisau (ya kupigia ndege). fowlpox n ndui. ~-run n uwanja wa kuku (agh. huzungukwa na kizuizi). ~ typhoid n kideri. ~pest n mdondo; kideri.