foul

adj 1 -a kuchukiza, -a kukirihi; (of smell) -a kunuka; (taste) -mbaya sana a drink with a ~ taste kinywaji chenye ladha mbaya a ~ meal (sl) chakula kibaya; ~ smelling latrine choo kinachonuka. 2 chafu, -a taka a ~ market soko chafu. 3 ovu, potevu, fasiki, (of language) -a matusi; (of the weather) -a dhoruba, -liochafuka. ~ spoken/-mouthed adj -enye maneno machafu. by fair means or ~ kwa halali au dhuluma. 4 ~ play n (in sport) dhambi, kosa; kuvunja sheria; (crime) mauaji, uhalifu wa kutumia nguvu It is ~ play ni kosa la jinai. 5 -liotatizwa; -liozongomezwa a ~ rope kamba iliyozongomezwa. 6 (of a flue, pipe, gun-barrel etc) -lioziba, chafu. 7 fall ~ of (of a ship) gongana na; zongomezwa na; (fig) pata msukosuko, andamwa na. 8 through fair and ~ kwa mema na mabaya, kwa njia yoyote ile. foully adv. foulness n. vt,vi ~ up 1 tia taka, chafua. 2 pambana, gongana; tatiza; zongomeza. 3 fanya faulu/dhambi.