form

n 1 umbo, sura, jinsi what is its~? ina umbile gani? she has a good ~ ana umbo zuri. 2 (prescribed order) taratibu, desturi; mtindo literary ~ fani, mtindo wa maandishi. good/bad ~n desturi njema/mbaya. 3 (pattern) muundo, aina ~ of government muundo wa serikali. 4 (gram) umbo la neno (katika matamshi au tahajia) different in ~ but identical in meaning yanatofautiana kwa umbo lakini yana maana sawa. 5 maadili, taratibu (za jadi); hali ya mwili. in/out of ~; on/off ~ -wa katika hali nzuri/mbaya. (esp. of horses and athletes) out of ~ -sioelekea kushinda. do something for ~'s sake fanya jambo kutimiza mradi/ada. 6 kawaida katika kufanya jambo (k.m. salamu, usemi). 7 fomu application ~s fomu za maombi. 8 uchangamfu, ubashasha he was in great ~ at the party alikuwa na ubashasha kwenye karamu. 9 (seat) fomu, benchi. 10 kidato. formless adj bila umbo, ovyo. formlessly adv. vt,vi 1 unda; umba (sura); tunga ~ words and sentences unda maneno na kutunga sentensi. 2 fanya, fanyiza, tengeneza, panga ~two rows panga/fanya mistari miwili. 3 anzisha ~ a class of adults anzisha darasa la watu wazima. 4 -wa sehemu ya, fanya this building ~s part of the school buildings jengo hili ni sehemu ya majengo ya shule. 5 ~ into (mil) enda/fuata mpango maalum the section ~ed three ranks kikosi kiliunda/kilifuata safu tatu. 6 fanyika, chukua, kuwa umbo/sura the idea ~ed in his mind wazo lilipata umbo akilini. formal adj 1 (prescribed) rasmi, -a utaratibu uliozoeleka/kubalika ~al dress vazi rasmi. 2 (of garden etc) pacha. 3 -a sura au umbo la nje; -a fani. 4 ~al grammar sarufi maumbo. formally adv. formalism n urasmi. formalist n mrasimu, mshika desturi. formality n 1 urasmi, urasmi wa. 2 kanuni, urasimu. (leg) formalities n urasmi wa kisheria. formalize vt rasimisha. format n 1 umbo na ukubwa wa kitabu (maandishi, karatasi, ujalidi). 2 muundo the examination ~at muundo wa mitihani. formation n 1 uumbaji, utengenezaji the ~ ation of characters uumbaji wa wahusika. 2 muundo au mpango. formative adj -enye kupatia umbo, -enye kuumba, -enye kutengeneza, -enye kujenga.