forbid

vt kataza, kanya, piga marufuku ~ somebody the house kataza mtu nyumbani. God ~ Mungu apishe mbali! forbidden adj -liokatazwa, mwiko. ~den fruit n jambo linalotamaniwa sana lakini mwiko/marufuku. forbidding adj -a kuogofya, -a kutisha, -kali. forbiddingly adv.