folio

n 1 ukurasa, folio, sahifa. 2 (of ledger) kurasa mbili za daftari zinazoelekeana,(upande mmoja wa matumizi na wa pili wa mapato). 3 namba ya ukurasa wa kitabu. 4 ukurasa mkubwa na karatasi iliyokunjwa mara moja; kitabu kikubwa chenye kurasa namna hii.