1n nzi. a ~ in the ointment dosari ndogo inayochafua sherehe/furaha. there are no flies on him(fig sl) mjanja, yu mwerevu. (compounds)fly-awayadj(of clothes) -a kupwaya; (of persons) badhirifu; -liopoteza fikra. fly-blown yai la nzi. fly-blownadj(of meat) -lioanza kuoza (kwa sababu ya mayai ya nzi ndani yake); (fig) chafu; bovu. fly-boatn mashua ieleayo. flybookn kijaruba cha kuwekea chambo (nzi) cha kuvulia samaki.fly-by-nightn mtu atembeaye usiku; mtu asiye mwaminifu. fly-catchern mtego wa nzi; shore kishungi, tiva. fly-fishvi vua samaki kwa nzi bandia. ~fishingn kuvua samaki kwa nzi bandia. ~ing-leafn ukurasa mtupu usiopigwa chapa (mwanzoni au mwishoni mwa kitabu). ~-overn (US = over pass) barabara, daraja n.k. ipitayo juu ya barabara nyingine. (GB) flypastn gwaride la Wanaanga. fly-wheeln gurudumu tegemeo. ~-papern karatasi yenye kunata ya kunasia nzi. fly-sheetn waraka/sekula ya kurasa. ~-swatter; ~-whiskn mwengo, mgwisho. ~-trapn mtego wa kunasia nzi. ~-weightn(of boxing) uzito wa chini. ~er;flieradj 1 mnyama, gari n.k. liendalo kasi mno. 2 mfanyakazi ndani ya ndege hasa rubani. flyingadj 1 -a kuruka. 2 -a muda mfupi; -a haraka, -a mbio sana. 3 -siyokazwa; -a kupwaya. 4 (compounds)~ing -antn kumbikumbi. ~ ing boatn ndege (eropleni) ya majini. ~ing -bombn roketi yenye bomu la kupiga mbali. ~ing -clubn chama cha watu wapendao mchezo wa kuruka (hewani). ~ing -coloursn bendera za kupamba/kupepea (agh. wakati wa sherehe). ~ing -columnn(mil) kikosi cha jeshi chenye uwezo wa kwenda haraka na kufanya mashambulizi chenyewe. ~ing -fieldn uwanja wa ndege. ~ing -fishn panzi la bahari: samaki wa nchi za tropiki awezaye kuruka. ~ing -foxn nundu. ~ing -jumpn urukaji unaoanza kwa kukimbia. ~ing -saucern kisahani kinachosemekana kilionekana kikipita angani. ~ing -squadn kikosi cha polisi cha kufukuza wahalifu chenye gari za kasi sana. ~ing -visitn ziara ya muda mfupi; kupitia.
fly
2vi,vt 1 ruka, puruka. ~ high -wa na tamaa ya (kuendelea, kukuza hali n.k.). ~ up ruka angani. the bird has flown mtu anayetafutwa ametoroka. 2 endesha ndege (hewani n.k.); safiri; safirisha (kwa ndege) every day people ~ to Zanzibar from Dar es Salaam kila siku watu husafiri kwa ndege kwenda Zanzibar kutoka Dar es Salaam. 3 kimbia; kimbilia; enda mbio, pita upesi. ~ off toka (enda) ghafla. ~ open funguka (dirisha, mlango n.k.) ghafla. ~ at somebody rukia, shambulia. ~ in the face of pinga; kana; katalia hadharani/wazi; kuwa dhidi ya/kinyume kabisa cha mambo. ~ into a rage /passion/temper pandwa na hamaki, hasira. ~ to arms twaa silaha kwa ari. ~ to bits/~into pieces pasuka na kutawanyika vipande vipande. ~ to the rescue kimbilia kuokoa maisha. make the feathers/fur ~ sababisha fujo/ugomvi. make the money ~ fuja mali. send somebody ~ing piga/gonga mtu ili aanguke kifudifudi au kwa mgongo. send things ~ing vurumisha vitu pande zote. 4 rusha (tiara, kishada) hewani; pandisha bendera. 5 hajiri.
fly
3n 1 (also colloq, pl. used with sing. meaning) lisani, mhalibori. 2 kipande cha turubali kwenye mlango wa hema au gari. 3 ncha ya bendera iliyo mbali na mlingoti.