n flora: mimea yote ya nchi fulani au ya kipindi maalum. floraladj -a maua. florescencen hali ya maua kuchanua; wakati mmea unapotoa maua. floriculturen kilimo cha maua. floristn muuza maua. floridadj 1 -liorembwa/nakshiwa sana; -enye mapambo na rangi nyingi mno; (of music etc.) -liotiwa madoido mengi mno. 2 (of a person's face) -ekundu (kwa asili). floridlyadv.