1n 1 kuruka the art of ~ ufundiwa kuruka. 2 safari ya angani; masafa ya mruko. ~ deckn (on an aircraft carrier) sitaha ya kupurukia na kutulia; (in an airliner) chumba cha rubani, n.k.. 3 mwendo wa hewani. 4 kundi la ndege (au vitu virukavyo pamoja) hewani. in the first ~ katika nafasi ya mbele, -enye kuongoza. 5 kupita kwa haraka. 6 (of stairs) ngazi. 7 kundi la ndege katika jeshi la anga la nchi. ~ Lieutenantn Luteni wa jeshi la anga. flightyadj -geugeu. flightinessn.
flight
2n kukimbia; ukimbizi put to ~ fukuza/kimbiza maadui. take ~; take to ~ kimbia.