flag

flag

1 n bendera, baramu. ~ of convenience bendera ya bandia (itumikayo kumficha mwenye meli ili aepuke kutoa ushuru). lower/ strike one's ~ teremsha bendera kama ishara ya kuonyesha kukubali ushinde. (compounds) ~-captain n kapteni wa meli ya admeri. ~-day n siku ya kutoa michango ya kusaidia wenye shida. flag-officer n admeri. ~-pole/flag-staff n mlingoti (wa bendera). flag-ship n manowari yenye bendera ya admeri. vt 1 pamba kwa bendera. 2 simamisha gari, treni n.k. kwa bendera. vi legea, tepeta; (diminish) fifia, pungua; (fig) nyong'onyea, choka.

flag

2 n (also flag-stone) jiwe bapa linalotumiwa kusakafia.

flag

3 n (bot) kangaga.