file

file

1 n tupa. vt piga tupa, kata kwa tupa; chonga. filings n cheche/punje za tupa.

file

2 n faili, jalada. vt 1 faili, hifadhi jaladani. 2 andikisha jambo mahakamani, sajili.

file

3 n safu. (in) single ~; (in) Indian ~ sanjari. the rank and ~ n askari (wasio maofisa); (fig) watu wa kawaida; akina kabwela/yahe. vi fuatana, andamana katika safu. ~ in/out ingia/toka kwa safu.