fence

n 1 ua. come down on one side or the other of the ~ unga mkono upande mmoja au mwingine. come down on the right/wrong side of the ~ kuwa upande wa mshindi/ mshinde. mend one's ~s patana na, leta suluhu. sit on the ~ (usu derog) kaa chonjo/kando, jivuta; -tojitia upande huu wala ule. fence-sitter n asiyejiingiza kokote. 2 ukingo. 3 upokeaji/mpokeaji wa mali iliyoibwa. vt,vi 1 tenga na zungushia ua. 2 zuia kwa ukingo. 3 pokea mali iliyoibwa. 4 shindana kwa kitara; (fig) epuka kujibu swali. fencing n vifaa vilivyotumiwa kujenga kitalu; mchezo/ufundi wa kushindana kwa vitara. fencer n mtumiaji kitara/upanga/sime. fenceless adj bila kitalu.