n 1 kosa, hatia, taksiri, dosari. at ~ -enye hatia/makosa; katika hali ya kutatizwa. to a ~ kupita kiasi. find ~ (with) lalamikia. ~-findern mtu asiyeridhirika. ~ findingn kutafuta makosa. 2 kosa, lawama the~ lies with you lawama ni yako. 3 jambo lililofanywa kwa makosa; (of tennis) mpira uliopigwa vibaya. 4 (of rocks) ufa, muatuko vt kosoa, laumu no one could ~ his implementation hakuna ambaye angeweza kukosoa utekelezaji wake. faultlessadj. faultlesslyadv. faultyadj -enye kosa, -baya, ovyo the work was done in a ~ymanner kazi ilifanyika ovyo. faultilyadv.