fate

n 1 jaala , majaliwa. as sure as ~ hakika. the F~s n miungu wa kike watatu wa Kigiriki (wa majaliwa). 2 kifo, mauti; maangamizi vt (usu pass) andikwa. it was ~d imeandikwa (na Mungu); tabiriwa kuwa. fatal adj ~ (to) -a kufisha, -a mauti; -baya fatal accident ajali ya kufisha his long absence was fatal to our plans kutokuwepo kwake kwa muda mrefu kuliharibu mipango yetu. fatal -a jaala. fatally adv. fatalism n falsafa ya jaala/majaliwa. fatalist n muumini wa falsafa ya jaala. fatalistic adj -a jaala/majaliwa. fatality n 1 msiba, baa. 2 kifo cha ajali/vita n.k. 3 mauti, athari mbaya (ya ugonjwa). fateful adj 1 -a jaala, -a majaliwa. ~ful events matukio ya majaliwa. 2 -enye kutabiri.