n 1 shamba. ~ hand/~ workern kibarua wa shamba. ~ yardn uwanja baina ya majengo shambani. 2 ~ houseor~ steadn nyumba ya mkulima shambani. vt,vi 1 (land) lima; (animals) fuga. 2 ~ out (to) toa kazi ikafanywe na wengine; kabidhi mtoto alelewe na mlezi. farmern mkulima; mfugaji. farmingn ukulima.