family

n 1 familia. 2 watoto (wa mtu fulani). 3 ahali, jamaa, aila extended ~ jamaa nuclear ~ ndugu wa karibu. 4 ukoo; nasaba. 5 kundi (la viumbe vya aina moja). 6 (attrib) -a jamii/jamaa/familia. ~ doctor n daktari wa familia. ~ hotel n hoteli yenye bei nafuu kwa familia. ~ likeness n kufanana kwa watu wa familia moja. ~ man n mtu apendaye kukaa nyumbani na familia yake; mwenye familia. ~ name n jina la ukoo. ~ planning n uzazi wa majira; upangaji (wa) familia . ~ fancy tree n chati ionyeshayo uhusiano wa aila; shajara. in the ~ way (sl) mja mzito. familial adj -a kifamilia; -a jamii; -a ukoo.