fall

n 1 kuanguka; kuporomoka; maanguko. 2 (decrease) kupungua, kushuka. 3 (error) kosa, dhambi. The ~ of Man dhambi ya Adam na Hawa, Dhambi ya Asili. ~ guy n (colloq) -mwenye kuonewa, mwenye kusukumiziwa mabaya. 4 (ruin) maangamizi. 5 (death) mauti. 6 (defeat) kushindwa, kutekwa (mji). 7 (descent) mteremko. 8 kiasi cha mvua iliyonyesha a heavy ~ of rain mvua kubwa. 9 maporomoko ya maji. 10 mshuko, mpunguo wa sauti. 11 (US) majira ya majani kupukutika. vi 1 ~ (down/over) anguka, gwa; (with force in a mass) poromoka. ~on one's feet (fig) -wa na bahati. ~ short tofika. ~ short of -tofikia, punguka; (of lambs) zaliwa. ~ flat pooza, -topendeza; lala/anguka kifudifudi; (of leaves) pukutika; (of rain) -nya, -nyesha; (in drops) dondoka. ~ into (a river, hole) tumbukia let ~ angusha, bwaga. ~in love with penda/husudu kitu au mtu fulani. (to) ~ into sections fanya katika makundi madogo. ~ on (the enemy etc.) endea, shambulia, rukia (adui n.k.). ~ over one another for gombania au pigania kitu kimoja. ~ under -wa chini ya/ katika. 2 (be ruined) angamia, haribika. 3 (error) kosa. 4 (from hand, slip) ponyoka. 5 (diminish) punguka, pungua; (mercury etc. in thermometer) shuka; (of temperature) zidi kuwa baridi. 6 (slope) teremka, shuka. 7 his face fell alionyesha huzuni. ~ in esteem shikwa na butwaa, pigwa na bumbuwazi. ~ sick ugua. ~ vacant (wa) wazi. 8 (special uses) ~ about (laughing/with laughter) (colloq) angua kicheko, cheka sana. ~ away acha, potea, -toonekana. ~ among angukia; kutana na. ~ asleep shikwa na usingizi, sinzia. ~ away konda; asi; (be lost) potea; (lapse) kufuru, kosa. ~ back enda nyuma, rudi. ~ back on tegemea; (decrease) punguka. ~ down on something (colloq) shindwa. ~ foul of kosana na. ~ in tumbukia; (of walls) bomoka; (soldiers) jipanga. ~ off punguka. ~ out (with somebody) kosana, gombana; (soldiers) tawanyika. fall-out n cheche za mnururisho zinazotokana na mlipuko wa bomu la nyuklia. ~through shindwa; shindikana; (of religion) asi. ~ to shika kazi; (be allotted to) -wa mali ya/kazi ya. 9 angukia Workers' day ~s on Saturday this year Sikukuu ya Wafanyakazi itaangukia Jumamosi mwaka huu. 10 tamkwa. the ~en n waliofia vitani. ~en woman n (old use) mwanamke aliyepoteza ubikira wake, asherati.