fail

fail

1 n (only in) without ~ bila kukosa.

fail

2 vi,vt 1 ~ (in) shindwa, feli, -tofaulu they ~ed the examination walifeli/walishindwa/hawakufaulu mtihani. 2 (of examiners) felisha, angusha the examiners ~ed the whole class watahini walifelisha darasa lote. 3 (often with an indirect object) haribika, kosekana, -totosheleza the crops ~ed because of cold mazao yaliharibika kwa sababu ya baridi the rain ~ed this year mvua hazikuwa za kutosha mwaka huu. ~ safe (attrib adj) (of a mechanical device) kinga, chombo chenye uwezo wa kuepusha hatari. 4 (of health, eyesight etc) dhoofika, pungua nguvu. 5 acha, sahau, kosa; (in many cases with the inf. making a neg. of an affirm) we never ~ to write hatusahau/hatuachi kuandika his hopes ~ed to materialize matumaini yake hayakufanikiwa. 6 filisika the parastatals ~ed mashirika ya umma yamefilisika. 7 ~ in -tokuwa imara, tokamilika Juma is strong but ~s in endurance Juma ana nguvu lakini si mvumulivu words ~ me nashindwa kujieleza. failing n kasoro, dosari (la tabia) prep bila. failure n 1 kushindwa, kutofaulu. 2 hali ya kutofanyika kwa jambo heart ~ure kushindwa kwa moyo kufanya kazi kama kawaida yake. 3 ushinde; jaribio au jambo lililoshindikana; mshinde. 4 (bankruptcy) kufilisika. 5 kudharau, kuacha au kutoweza (kufanya jambo).