vi 1 (of a period of time) isha, malizika, fikia mwisho his duty ~s today zamu yake inaisha leo. 2 (liter) fa. expirationn 1 (formal) upumuaji, utoaji pumzi. 2 expiration (of) mwisho, kwisha, kumalizika (kwa). expiratoryadj -a kupumulia. expirynexpiry (of) mwisho, kwisha, kumalizika (kwa muda fulani). expiry daten tarehe ya mwisho kutumika.