examine

vt 1 ~ (for) chunguza. 2 ~ in tahini, pima; pimwa. 3 kozi. examination/exam n 1 mtihani pass an examination pasi/faulu mtihani. 2 uchunguzi. under examination katika kuchunguzwa medical examination uchunguzi wa kitabibu. 3 (leg) kuhoji kwa wakili. examinee n mtahiniwa. examiner n mtahini, mchunguzi.