evolve

vt,vi 1 kua, geuka my feelings have ~d hisia zangu zimekua. 2 endeleza taratibu/kiasili; (of plan) zindua kiasili. vi funuka. evolution n 1 mageuko/mabadiliko (ya polepole au yasiyoingiliwa kati). 2 nadharia ya mageuko kutoka sahili kuwa tata. 3 mwendo uliopangwa/ maalum (wa majeshi, wacheza dansi, n.k.). evolutionary adj.