entrance

entrance

n 1 mlango/lango/njia ya kupitia, kuingia, kutokea kwa mchezaji katika jukwaa. 2 kuingia (to) force ~ ingia kwa nguvu. 3 haki ya kuingilia. fees ~ n malipo, kiingilio. ~ examination n mtihani wa kuingilia. entrant n 1 mwingiaji. 2 mshindani. entry n 1 kuingia. 2 mlango; ruhusa ya kuingia. no entry hakuna ruhusa kuingia. 3 ingizo. 4 (of a dictionary) kitomeo. 5 orodha/idadi ya washiriki katika mashindano.

entrance

vt ~ (at, with) vutia/pendeza/furahishwa na.