elder

elder

1 adj -enye umri mkubwa kuliko; kubwa ~ brother kaka mkubwa. n 1 mzee. the ~s n wazee. 2 mzee wa kanisa. elderly adj zee, -enye kuzeeka. eldest n 1 mkubwa kabisa kwa umri. 2 eldest child n kifungua mimba.

elder

2 n msambuku (mti mdogo unaozaa fuu nyekundu au nyeusi zitumikazo kutengeneza mvinyo).