ebb

vi 1 (of tide) pwa. 2 (fig) (lessen)pungua, fifia; dhoofika. n 1 maji kupwa/mafu the tide is on the ~ maji yamekupwa. 2 (fig) hali duni, kudhoofika; kupungua be at a low ~ kuwa katika hali duni. ~-tide n kupwa.