eat

vt,vi 1 ~ (up) -la. ~ it's head off (a horse) kula mno, gharimu zaidi kumlisha kuliko thamani yake. ~ one's heart out umia kimoyomoyo. ~ one's words futa usemi; omba radhi. ~ out of somebody's hand mtii sana, mkubalia sana ~ somebody out of house and home kula sana kwa gharama ya mwingine; (destroy) -la na haribu, mong'onyoa be ~en up with (jealousy, etc.) jaa (wivu, n.k.). 2 ~ into tumia/maliza sehemu. ~ing house/place n mkahawa, hoteli. eating apple n tufaha linaloliwa bila kupikwa. eatings n (sl) chakula, maakuli. eatable adj -a kulika. eatables n vyakula.