easy

adj 1 rahisi, epesi people who are ~ to get on with watu ambao ni rahisi kuelewana nao ~ victim mtu ambaye ni rahisi kudanganyika. 2 (quite, comfortable) -a raha, tulivu, radhi, siyo na taabu an ~ chair kiti cha raha an ~ life maisha yasiyo na taabu ~ money pesa ipatikanayo bila jasho on ~ terms -a kulipia kidogokidogo by ~ stages (of journey) kwa awamu ndogondogo within ~ reach -a kufikika kwa urahisi; karibu woman of ~ virtue mwanamke mtembezi I'm ~ (colloq) sina ubishi, sina neno adv kwa urahisi ~ come ~ go kinachopatikana kwa urahisi hupotea kwa urahisi go ~ punguza kazi/kasi. go ~ on with -wa mwangalifu take it/things ~ -tofanya kazi kwa bidii sana, -tojisumbua. easier said than done kusema ni rahisi kuliko kutenda. stand ~ (mil) legeza mwili. easily adv 1 kwa urahisi. 2 bila shaka; kwa mbali sana he is easily the best singer yeye ni mwimbaji bora kwa mbali sana. easiness n. easygoing adj 1 (of persons) pole, si gumu, si kali; radhi. 2 (careless) zembe, vivu, -siojali.