dummy

n 1 mwigo (utumikao badala ya kitu halisi) a baby's ~ chuchu bandia, nyonyo. 2 (attrib) bandia. a ~ gun n bunduki (ya) bandia. 3 (in card games esp. bridge) mchezaji ambaye karata zake zimewekwa wazi mezani. 4 mchezaji wa akiba. 5 mpumbavu. 6 (publishing) mfano wa kitabu. 7 (attrib) ~ run n jaribio/mazoezi (ya kupigana, kulenga shabaha n.k.) adj -a kuigiza, -a bandia.