drown

vt,vi 1 zama majini, -fa maji; zamisha majini, fisha maji. 2 ~ (out) (of sound) hanikiza. 3 (fig) a face ~ in tears uso uliorowana machozi; ~ in sleep -wa katika usingizi mzito (hasa kutokana na uchovu; lala fofofo to ~ one's sorrows in drink kufifilisha huzuni kwa kunywa pombe, kusahau matatizo kwa kulewa.