drop

drop

1 n 1 tone have a ~ kunywa pombe. in ~s kidogo kidogo. 2 pombe (kidogo). take a ~ too much lewa. 3 kiasi kidogo. only a ~ in the ocean kiasi kidogo sana. 4 (med) dawa ya matone. 5 (decrease) kipunguo ~ in price kipunguo cha bei. 6 kitu kiangukacho/ kiteremshwacho. ~ curtain n pazia zinazoteremshwa katika mchezo at the ~ of a hat mara moja. 7 peremende (ya mviringo).

drop

2 vt,vi 1 anguka; ponyoka; poromoka; poromosha. ~ out of somebody's hands angusha; ponyoka. ~ into a habit zoea, ingia katika tabia. ~ anchor shusha nanga. 2 tona, dondosha; dondoka. 3 koma; isha, malizika the matter ~ped jambo hilo likamalizika. 4 (utter ) toa (neno); ambia. 5 acha, achia, toa. ~ a hint dokeza ~ a line andika barua fupi. 6 (of leaves) pukutika. 7 pungua, punguka; tulia ghafula. 8 (with adv. particles & preps) (in car) teremsha ~ me at the office niache/nidondoshe ofisini. ~ away ondoka, pungua; toweka. ~ back rudi, baki nyuma. ~ behind chelewa, fuata nyuma (kwa kuwa huwezi kumudu mwendo). ~ down anguka; zuru. ~ off pungua; acha; teremsha; sinzia. ~ on somebody angukia mtu fulani. ~ into tumbukia. ~ out of acha kushiriki, jitoa, kana. ~ out n mtu anayejitoa/anayeacha kushiriki. 9 (colloq.) poteza fedha (katika kamari n.k). ~ a brick fanya kosa, sema kwa makosa. ~ dead (sl) potea, ambaa, ondoka. ~ something like a hot potato acha mara moja (kwa sababu ya matatizo/unyeti). droplet n kitone.