draw

n 1 kuvuta. 2 (of lottery) kuchezesha bahati nasibu when will the ~ take place? bahati nasibu itachezeshwa lini? 3 suluhu, sare the game ended in a ~ mchezo ulikuwa sare. 4 kivutio; mvutiaji Mr Mrema is a great ~ at meetings anavutia sana watu kuja mkutanoni. 5 kufuta be quick on the ~ -wa mwepesi kufuta/ kuchomoa (upanga, bastola); (fig) mwepesi kuelewa mambo. vt,vi 1 vuta. ~ aside chukua mtu pembeni. ~ the curtains vuta/funga pazia. 2 kokota. plough ~n by the tractor plau linalokokotwa na trekta. ~ (out); (from/out of) ondoa kwa kuvuta; zidua; zibua ~ a cork zibua kizibo ~ a nail zidua msumari. 3 (in card games) kata ng'anda. to ~ a winner kupata tiketi ya ushindi; tafuta/bahatisha mshindi. ~ a blank -topata chochote. ~ somebody's teeth poza mtu, maliza ukali wake. 4 ~ (from/ out of) chota ~ water from a well teka/chota maji kisimani; (of money/from one's account) chukua to ~ rations kuchukua posho. ~ it mild (fig) -wa wa kiasi; -totia chumvi nyingi; -wa taratibu. ~ tears/applause sababisha machozi/makofi the news drew tears habari ile ilimliza. 5 ~ (to) vuta, vutia he drew my attention to alinionyesha I don't feel ~n to him sivutiwi naye. 6 vuta, ingiza ndani to ~ a deep breath vuta pumzi kubwa. ~ one's first/last breath zaliwa/-fa. 7 (of a chimney) acha nafasi ya hewa kupita; -jengwa ili kupitisha hewa/moshi. 8 ~(out) sababisha/ shawishi (mtu) kuongea, kuonyesha hisia zake. 9 enda karibu, karibia Republic day is ~ing near siku ya Jamhuri inakaribia. ~ near karibia. ~ ahead enda mbele ~ ahead from others enda mbele kuliko wengine. ~ draw off/back rudi nyuma. 10 sababisha kusogea/kuja. 11 chora ~ a line piga mstari ~ picture (fig) eleza kwa maneno. ~ the line weka mpaka; kataa; weka kiwango; kataza. ~ a distinction (between) onyesha tofauti. ~ a parallel/ comparison/analogy between. linganisha; onyesha ulinganifu. ~ the line (at) weka kikomo; eleza jambo lisiloruhusiwa; kataa kuendelea. 12 andika ~ a cheque (on a bank for a sum of money) andika cheki; (of writers) chota, sawiri. 13 (of a ship) -hitaji kina (ili kuelea) the ship ~s six metres of water meli yahitaji kina cha mita sita za maji ili ielee; (of competition) toka sare, fungana. 14 (of the features) kunjamana, umbuka; umbua, rembua. 15 (special uses with prep and adv particles) ~ apart tengana. ~ away zidi kutangulia. ~ back kaa mbali; (fig) sita; onyesha kutotaka n kizuizi, dosari, kipingamizi. ~ in (of a day) fikia mwisho wake; -wa fupi zaidi. ~ down vuta. ~ for jaribu bahati, pigia kura. ~ into shawishi kujiunga. ~ on (of a period of time) karibia, ingia night drew on usiku ulikaribia. ~ off ondoa. ~ on somebody tumia. ~ somebody on vutia, shawishi. ~ on somebody tishia kwa silaha. ~ out (of a day) -wa refu, refuka; nyosha; refusha. ~ up (of vehicle) simama/simamisha; tayarisha, tunga; (US passive) (of troops etc.) panga, simama hima. drawback n 1 kizuizi, kipingamizi. 2 marejesho (ya kodi/ushuru). ~ bar n kifungo kitenganishacho mabehewa. drawbridge n daraja (ulalo, mtatago) ya kuinuliwa. drawer n 1 mtoto wa meza. 2 (daughtsman) mrasimu, mchoraji, mwandika hundi. drawers n chupi (ya zamani). drawing n 1 uchoraji (picha, ramani, vielelezo n.k.). 2 (picture ) picha, mchoro, kielelezo, taswira. out of drawl ~ing -liochorwa vibaya. drawing board n ubao wa kuchorea (k.v. wa mrasimu). ~ing room n (US) sebule, ukumbi.