dove

n 1 njiwa (wadogo zaidi kuliko wafugwao); alama ya amani. 2 mpatanishi (katika utesi). 3 (fig) mpenzi. 4 (colour) mpigania amani, mwanachama wa watetezi wa amani. ~coloured adj -a rangi ya njiwa. flutter the ~ cotes shtua watu wapole/wakimya. ~-cote n tundu la njiwa. ~eyed adj -enye macho ya njiwa (kwa upole na usafi). ~hawk n mwewe. dovetail vt,vi (mortise) unganisha (mbao) kwa kufanya vipande viwili viumane; (fig) umana, kubaliana n kiungo cha mbao; kuumana. ~tail-joint maker n mtengeneza viungo vya kuumana.