dot

dot

1 n 1 nukta, alama ndogo, kitone. on the ~ (colloq) juu ya alama come at five on the ~ njoo saa 11 juu ya alama. 2 kitu kionekanacho kama tone. the year ~ zama za kale vt 1 tia (alama ya) tone/nukta. ~one's i's and cross one's t's (fig) fanya kuwa wazi na -a uhakika, kamilisha kila kitu. 2 fanya/funika kwa nukta. ~ about tia nukta huko na huko. be ~ted about tapakaa, tawanyika. sign on the ~ted line (fig) kubali bila kukawia au upinzani. ~ty adj 1 -liotapakaa madoa. 2 (colloq) punguani; -pumbavu; -jinga.

dot

2 n (Fr) mahari.