dominate

vt,vi ~ (over) 1 (rule) tawala, -wa na amri juu ya, amuru. 2 (of a place esp. a height) -wa refu kuliko, tawalia, angalia kutoka juu. domination n. dominant adj 1 -a nguvu, -a kutawala. 2 (of heights) -lio juu ya n noti ya tano katika skeli. dominantly adv. dominance n.