vt,vi dhikisha, tesa; huzunisha; tia wasiwasi. ~ oneself jitesa; ona wasiwasi be much~ed huzunishwa/ sikitishwa na. ~ed arean eneo la dhiki/lisilo na kazi. distressingadj. ~fully; ~inglyadv. n 1 dhiki; majonzi, huzuni companion in ~ rafiki katika dhiki ~ committee kamati ya wenye shida, wasio na kazi. 2 hali ya hatari; tatizo/shida kubwa. ~ signaln alama ya hatari. 3 maumivu, mateso, uchungu.